Kampuni maarufu jijini Dar Es Salaam inayofahamika kwa jina la ODM Film Company imeingia katika hatua kubwa zaidi.
ODM kwa ushirikiano na guta86.blogspot. Com wanaandaa kipind cha Tv kitakacho weza kuonekana katika moja ya station maarufu nchini Tanzania kuptia king'amuzi cha Star times.
Ni fursa pekee kwa makapuni na taasisi mbalimbali pia watu binafsi kutoa sapot ili kufankisha suala hili.
No comments:
Post a Comment