Kupitia kipindi bora kabsa cha TV kinachoitwa FURSA#Nafasi ni yako# kinachoruka kupitia SIBUKA TV ya jijini Dar es salaam,Tanzania kinachokutana na vijana ktk mkoa wa Arusha.
Kupitia kipindi hiki kuna shindano linaloendelea ktk kumsaka mrembo atakae iwakilisha Arusha kutengeneza tangazo la maji ya kunywa ya kampuni Moja hapa nchini.
No comments:
Post a Comment