Wajasiriamali
wa Tanzania wameendelea kufanya vizuri na kutimiza mpango wa Rais Magufuli
kuhakikisha Tanzania inakua nchi ya viwanda.
MABAKI MALI chini ya Irene Missanga Muja wamfikia hatua ya kutumia mabaki ya tairi za magari
kutengeza samani zenye ubora wa hali ya juu na zenye kuridhisha.
Irene Muja na MABAKI MALI amepata nafasi ya kuonyesha ubunifu wake na bidhaa wanazotengeneza
kupitia maonyesho ya utunzaji wa mazingira yaliyofanyika mnazi mmoja.
No comments:
Post a Comment