Kundi la vichekesho linalokwenda kwa jina la BAKORA limezidi kuwapa homa wasanii wa comedy Tanzania.
Bakora linaloundwa na wasanii 3 manguli wanaikimbiza bongo na kuwanyima usingizi wakongwe kwa kile wanachokifanya.
Bakora inayorushwa kipindi chake kupitia Star Tv kila jumapili imeendelea kufanya vizuri sana.
No comments:
Post a Comment