WIZARA
ya Ujezi, Uchukuzi na Mawasiliano imeliomba Bunge liidhinishe jumla ya Sh
trilioni 4.27 huku kipaumbele kikiwa ni kujenga barabara zenye urefu wa
kilomita 597.1 kwa kiwango cha lami, kununua ndege mbili na ujenzi wa Reli ya
Kisasa (SGR).
Pia Sh bilioni 100 zimetengwa kwa ajili ya kuanza ujenzi wa reli ya Isaka – Rusumo (km 371) kwa SGR kwa kushirikiana na Serikali ya Rwanda,Habari leo limeripoti.
Kwa habari nyingine nyingi zaidi peruzi kurasaza magazeti hayo.......
No comments:
Post a Comment