Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Marketing Executive

Monday, April 30, 2018

SIMBA YAWANYOA NYWELE YANGA

Club ya Simba Sports Club ya Jijini Dar Es Salaam imeendeleza wimbi la ubingwa kuelekea kutwaa taji la Ligi kuu ya Bara.

Wekundu hao wa mtaa wa msimbazi wameipa kichapo cha hatari watani wao wa jadi Yanga kwa kuisambaratisha bao moja bila.

Ushindi huo umeiweka katika mazingira mazuri ya kutwaa ubingwa wa Ligi kuu bara na kuwaacha wapinzani wao wa jadi hao.

Ushindi huo umewafanya Yanga kuwa kichwa cha mwenda wazimu wakutanapo na Simba kwa miaka hii ya karibuni.

Baada ya mchezo huo kumalizika na Simba kupata ushindi huo maneno ya Haj Manara yametimia.




No comments:

Post a Comment