Mjadala
mkali unaendelea nchini Tanzania baada ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za
Serikali, CAG, Prof.Mussa
Assad kutoa taarifa yake ya ukaguzi wa mapato na matumizi ya fedha za umma kwa
mwaka 2016/17.
Taarifa
hiyo ilio wazi kwa umma, baada ya kukabidhiwa rasmi bungen imepokewa Kwa hisia
tofauti huku baadhi wakihoji upotevu wa fedha za umma ambazo inasemekana huenda
zimepotea.
Zitto
Kabwe ambae ni mwanzilishi wa Chama cha ACT Wazalendo amezungumza na BBC kuhusu
matokeo ya ripoti hiyo.
No comments:
Post a Comment