Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Marketing Executive

Monday, April 23, 2018

JEBBY AAGA DUNIA

Msanii wa bongo fleva anayefahamika kwa jina la Jebby ambaye amewahi kufanya vyema na wimbo kama Swahiba amefariki dunia leo April 22, 2018 mjini Dodoma alipokuwa akipatiwa matibabu.



Msanii Afande Sele pia amethibitisha hilo na kusema kuwa Jebby alikuwa anasumbuliwa na matatizo hayo ya bandama na kuwa leo ndiyo amefariki dunia.

"Hayupo tena duniani swahiba...pumzika kwa amani mdogo wangu wa haki Jebby.

Tukimaliza kazi tutavalishwa taji" alisema Afande Selle


Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi.


No comments:

Post a Comment