Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Marketing Executive

Monday, April 30, 2018

KOREA KASKAZINI KUFUNGA KITUO CHA NUCLEAR

Rais wa Korea kaskazini ametoa tamko kua atafunga kituo chake cha majaribio ya nuclear.

Ameyasema hayo alipokutana na Rais wa korea kusini na kuwekeana makubaliano ya kusimamisha vita dhidi yao.

Pia kuna uweekano mkubwa wa Rais huyo wa korea kaskazini kukutana na Rais wa Marekani Dolnad Trump.

No comments:

Post a Comment