Wanafunzi wa kidato cha sita(6) katika shule ya secondary Air Wing jijini Dar Es Salaam wamefurahia mahafari yao leo tarehe 27/4/2018.
Baadhi ya wanafunzi hao wameiambia
guta86.blogspot.com kuwa hii ni moja ya siku ambazo hawataisahau katika maisha
yao na kuwa ni alama isiyofutika kwao katika maisha ya elimu.
Wazazi,ndugu,jamaa na marafiki
walifika shuleni hapo kuweza kuungana na wanafunzi hao katika mahafari yao.
No comments:
Post a Comment