Paul
Makonda ameagiza kusimama kwa masomo
katika shule mbalimbali kwa muda wa siku mbili ndani ya jiji hili la Dar
Es Salaam.
Hatua
hiyo imefikiwa baada ya kuwepo kwa madhara mbali mbali yanayosababishwa na mvua
zinazoendelea kunyesha nchi nzima na kuwapa wakati mgumu wanafunzi pia walimu kufika
kwa wakati mashuleni.
Tamko
hili pia linaambatana na muendelezo wa Mh Paul Makonda kuhakikisha anatatua
suala zima la kupatikana kwa Elimu bora ndani ya jiji hili.
No comments:
Post a Comment