Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Marketing Executive

Tuesday, April 17, 2018

TAKATAKA ZAZIDI KUZAGAA JIJINI DAR

Baadhi ya maeneo ndani ya jiji la Dar Es Salaam yamekua na mlundikano wa taka na kuvuruga shughuli zinazoendelea katika maeneo hayo.

Taka hizo zinazotokana na uwepo wa  miundombinu mibovu ya uhifadhi wake zimekua kero kubwa kwa wakazi husika.


Maeneo yanayoathirika zaidi ni ya mabondeni kwani imekua ngumu kwa wahusika wa ukusanyaji wa taka hizo kufika katika maeneo hayo.Suala zima linasababishwa na upuuzwaji wa wahusika kuzingatia maeneo hayo kwa muda mrefu.

Wahusika wamekua katika hali hizo kwa kutoa na kuelekeza nguvu zao maeneo ya pembezoni mwa barabara tu kutokana na kutambua watu wengi huona taka za maeneo hayo na kusahau maeneo ya ndani na mabondeni.


No comments:

Post a Comment