Mvua
kubwa zimeendelea kunyesha ndani ya jiji la Dar Es Salaam kwa siku mbili
mfululizo.Mvua hizi zinazoendelea katika maeneo yote ya jiji hili zinaambatana
na kusababisha mafuriko katika baadhi ya Maeneo ya jiji hili.
Pia
mvua hizi zimepelekea kusimama kwa baadhi ya shughuli za kiuchumi kushika kasi
mbali na kuleta madhara kwa baadhi ya kaya kupoteza vitu,na kuwa katika
mazingira magumu.
Usafiri
umekua mgumu katika baadhi ya maeneo na kurudisha nyuma kasi ya maendeleo,mbali
na kuwapa wakati mgumu wanafunzi kufika mashuleni.
No comments:
Post a Comment