Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Marketing Executive

Thursday, April 12, 2018

MOMBASA YATAWALIWA NA MICHEZO YA HATARI


Imeibuka michezo hatari na yenye kuhitaji sana umakini na ujasiri wa hali ya juu ili kufikia hatua ya kuicheza ipasavyo.

Michezo hiyo inayoambatana na kupigwa kwa nyimbo za dini na utoaji wa injili takatifu hufanyika katika eneo lenye mkusanyiko wa watu hasa pembezoni mwa vituo vya daladala.

Mchezo huo umekua maarufu sana katika eneo la  Ukonga Mombasa jijini Dar Es Salaam na kuonekana kuwavutia sana wakazi wa jamii husika na kujipatia umaarufu mkubwa sana.

No comments:

Post a Comment