Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Marketing Executive

Thursday, April 12, 2018

TAKA ZAIHARIBU BIASHARA YA MAMA LISHE UKONGA

Mazingira ya Ukonga saba saba yamekua hatarishi sana katika maisha ya wakazi wa eneo hilo kiafya.

Katika eneo hilo taka zimekua zikitupwa ovyo bila utaratibu maalumu wa kuhifadhi taka hizo jambo linalopelekea uwezekano mkuba wa kuibuka kwa magonjwa ya mlipuko kama kipindupindu hasa kipindi hiki cha mvua nyingi..

Taka hizo zinazokaribiana na mama lishe wanaowahudumia wakazi wa eneo hilo kwa kutoa chakula kilicho safi na salama kwa maisha ya wakazi hao.



Mama lishe hao wameonekana wakilaum hali hiyo na kuutupia lawama uongozi wa serikali ya mtaa wa eneo husika.

Wakazi hao waliokaribu ya eneo hilo wameonekana wakitupa ovyo takataka japo wameonekana wakitupa japo wanautupia mpira uongozi wa serikali wa eneo hilo

No comments:

Post a Comment