Msanii wa muziki wa reggae nchini
Tanzania anaekwenda kwa jina la DaBo wiki hii amekua katika wakati mgumu sana
baada ya kukumbwa na Msiba.
DaBo amefiwa na mama yake mzazi na
msiba huo upo maeneo ya Kiwalani Jijini Dar Es Salaam,Tanzania.
DaBo ambae ni mdogo wa nguli wa mziki
wa Bongo Flava Lady Jay Dee na mtu wa karibu sana na Wakazi ameelezea mazingira ya msiba huo na kuonekana ana
majonzi makubwa.
Guta86.blogspot.com inatoa pole kwa
msanii huyo na watanzania wote kwa ujumla.
No comments:
Post a Comment