Mwl Nyerere Airpot imeonekana kuwa katika hali ya kujaa maji na kusababisha ndege zinazofanya safari kuanzia uwanjani hapo kupata tabu pindi zianzapo safari.
Uongozi umeonekana katika hali ya kuweka mbinu ama njia mbadala ya kuondoa maji hayo ili kuondoa tatizo hilo.
No comments:
Post a Comment