Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Marketing Executive

Tuesday, April 17, 2018

PAUL MAKONDA AZIDI KUINUFAISHA DAR

Paul Makonda mkuu wa mkoa wa Dar Es Salaam ameonyesha dhahiri kuifikisha ama kuupa mkoa wake kipaumbele na kuongeza mbinu nyingi za kuisaidia jamii.

Paul Makonda ameanzisha utaratibu utakao wasaidia kina mama wajane kupata msaada utakao wapa nafasi ya kupata huduma ya kuwawezesha watoto wao kwa kila familia.

Jambo hilo limepokelewa kwa furaha na wakazi wa jiji la Dar Es Salaam kiasi cha kumpa nafasi kubwa  kiongozi huyo na Serikali yake iliyopo madarakani.

Paul Makonda anaendeleza harakati hizo akiwa katika kiwango cha juu cha ufanikishaji wa zoezi lake hilo na amekua makini.

No comments:

Post a Comment