Rais wa jamuhuri ya muungano wa
Tanzania Mh Dkt.John Pombe Joseph Magufuli ameendelea kuhimiza na kuulinda
Muungano huo kwa nguvu na kutumia kauli mbiu yake hapa kazi tu.
Rais Magufuli amesema kua ataulinda
Muungano kwa kufuata kanuni na taratibu za nchi zilizoachwa na Waasisi wa Taifa
hili Mwl J.K.Nyerere na Abeid Aman Karume.
Rais Magufuli anatekeleza hayo yote
kwa uhirikiano na Rais wa Zanzibar Mh Dkt.Shein kama ilani ya chama cha
Mapinduzi inavyosema pia Serikali ya Jamhuri.
Katika maadhimisho hayo Rais Magufuli
aliwaasa Watanzania wa ndani na nje ya nchi kutojihusisha na aina yoyote ya
matukio ama vitendo vitakavyochochea uvunjifu wa amani.
Kauli hiyo inaambatana na kile
alichokifanya Mangekimambi kupitia account yake ya Instagram kuhamasisha
Watanzania wote kuandamana kupinga utawala wa uliopo madarakani.
No comments:
Post a Comment