Kocha wa timu hiyo Jose Mourinho hakumchezesha mechi iliyopita dhidi ya Westbromwich Albion ambayo Manchester walishindwa kupata matokeo mazuri wakiwa nyumbani.
Tuesday, April 17, 2018
SHAW DIMBANI KUANZA DHIDI YA BOURNEMOUTH
Mlinzi huyo wa kushoto wa timu ya Manchester United anatarajia kuitwa kwenye kikosi cha kwanza cha timu hiyo ya mashetani wekundu.
Luke Shaw alionekana akieelekea kwenye uwanja wa mazoezi( Carrington Park) akiwa kwenye gari lake aina ya Range Rover.
Kocha wa timu hiyo Jose Mourinho hakumchezesha mechi iliyopita dhidi ya Westbromwich Albion ambayo Manchester walishindwa kupata matokeo mazuri wakiwa nyumbani.
Kocha wa timu hiyo Jose Mourinho hakumchezesha mechi iliyopita dhidi ya Westbromwich Albion ambayo Manchester walishindwa kupata matokeo mazuri wakiwa nyumbani.
Labels:
BURUDANI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment