Wakali hao The Saints wameamua kufanya hivyo baada ya mlinda mlango wao Fraser Foster kubakisha mwaka mmoja kwenye mkataba wake wakuichezea timu hiyo.
Westwood amekua nje kwa miezi minne akisumbuliwa na maumivu ya paja na aliporejea mazoezini akakumbana na kuchanika kwa misuri ambako kumemweka nje hadi sasa, hali hiyo itamlazimu kukosa mechi zakirafiki dhidi ya Ufaransa, United States na Celtic.
No comments:
Post a Comment