Mji wa Babati umekumbwa na homa kali na hatari katika suala
zima la sanaa ya music wa kizazi kipya .
Homa hiyo imewapata wakazi wa eneo hilo ndani ya wiki hii
baada ya msanii wa Bongo flava anaejulikana sana kwa jina laSheta kuandaa
tamasha hilo maeneo hayo.
Sheta amefanikiwa kufanya kazi na wasanii mbalimbali ndani nan je ya nchi na akiwa Babati alikua na kazi moja kubwa ya kuwatambulisha wasanii wake wapya wanaokwenda kwa jina la The MAFIK na ngoma yao mpya inayokwenda kwa jina la PASSENGER.
No comments:
Post a Comment