Kundi mahiri la vichekesho lenye maskani yake Jijini
Dar Es Salaam maeneo ya Tabata Chang’ombe linaendelea kufanya jitihada za dhati
ili kuhakisha linafanikiwa kupata mdau ama wadau watakao lisapoti kundi hilo
katika shughuli yake ya kuelimisha jamii.
BAKORA
PIONEER wameweka wazi juu ya hilo kupitia kwa Marketing
manager wao Mr Edwin Malima ambaye
ameweza kuhudhulia maonyesho ya utunzaji wa mazingira yanayoendelea jijini Dar
es salaam.
Mr
Edwin Malima amepata nafasi ya kukutana na baadhi ya
CEO’S wa kampuni,taasisi na asasi mbalimbali za serikali na binafsi na kupewa
nafasi ya kuzungumzia juu ya uhitaji wa kundi hilo.
BAKORA
PIONEER wanahitaji mdhamini mwenye nia,lengo,utashi,uwezo,na
haja ya kuendeleza vipaji kwa vijana akitambua kua ni ajira tosha.
Baadhi ya wadau wameonyesha mwitikio juu ya suala hilo
na kuomb kuonana na Mr Edwin Malima ambae pia ni founder na CEO wa guta86.blogspot.com.
Kwa mawasiliano zaidi unaweza kuwasiliana na Mr Edwin Malima
simu na :- 0719
797 295 / 0686 971 676 au E-mail :86guta@gmail.com
No comments:
Post a Comment